AY AFUNGA NDOA JIJINI DAR
MSANII wa Bongo Fleva, Ambwene Yessayah ‘AY ‘ amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi, Remy jana katika ufukwe wa bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam.
Ambwene Yessayah ‘AY ‘ (katikati) akiwa na mkewe (wa pili kushoto) kabla ya kufunga ndoa jana katika ufukwe wa bahari ya Hindi.
AY akiwa na Mwana FA kabla ya kufunga ndoa.



No comments: