Header Ads

Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

VIDEO: 'SERIKALI INAFURAHIA VIONGOZI WA UPINZANI WANAVYOUWA?' MTATIRO AFUNGUKA

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi CUF,  Julius Mtatiro amesema kukaa kimya kwa Serikali pindi wanapouawa Viongozi wa Vyama vya Upinzani kunaashiria kuwa Serikali inafurahia vifo hivyo hali ambayo inawafanya wauaji waendelee kufanya mauaji hayo kwa kuwa hawakemewi na Serikali.

ANGALIA  VIDEO HAPA CHINI:

No comments: