Header Ads

Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

HOTUBA YA MH RAIS JOHN MAGUFULI AKILIHUTUBIA BUNGE


Rais Dk. John Magufuli akilihutubia bunge mjini Dododma jana wakati akilizindua bunge hilo.


Marais Wastaafu, kutoka kushoto ni Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na Rais Mstaafu wa Zanzibar,Amani Karume.

Wabunge wa Upinzani wakiwa wamesimama na kupiga makelele wakikaidi amri ya spika kukaa chini baada ya Rais John Magufuli kuwasili ndani ya ukumbi wa bunge, huku wabunge wa CCM wakiwa wamekaa chini.

Rais wa Zanzibar akiwaangalia wabunge wa upinzani ambao walikuwa wakimzomea muda wote tangu alipoingia kwenye ukumbi wa bunge mjini Dodoma. Kulia ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Iddi.

Wabunge wa upinzani wakitoka nnje ya ukumbi wa bunge baada ya kupinga kuwepo kwa rais wa Zanzibar ndani ya ukumbi huo, wakidai rais wa Zanzibar ni Maalim Seif.

Leave a Comment

No comments: